Tafuta/Search This Blog

Tuesday, March 27, 2012

Rehema's Send off party.

Jina lake ni Rehema Rashid Mwevirah, kutoka Iringa na anaishi Arusha. Jumamosi ilikuwa ni siku ambayo wazazi wake walimuaga ili aoelewe na kijana Mwaluko Chilewa pia wa Arusha. Hizi ndio picha za matukio katika sherehe hiyo ya kumuaga binti huyo iliyofanyika katika viwanja vya kanisa la Kirumba Valley christian Center Mwanza.

Rehema na mpambe wake Beatrice.

Kijana Mwaluko Chilewa.

Mpambe wa Mwaluko kaka Jadon Kuyokwa akimweka sawa.

Shemeji mkubwa mama Gratian akiwa na vijana wake muda mfupi kabla ya kuelekea kwenye sherehe.

Baba na mama Gratian, wenyeji wa Chilewa na familia yake.


Wazazi wa Chilewa pamoja na kaka mkubwa Humphrey.


Makabidhiano ya sanduku kutoka kwa shangazi kwenda kwa shangazi.

Sanduku linapigwa ukaguzi kama linafaa.

Sanduku limefaa na familia ya Rehema kupitia kwa shangazi mama Lyabandi wamekubali kumtoa binti yao.

Mama mdogo wa Rehema, Pastor Tina akiwa na mama mzazi wa Rehema.

Kapu la wamama hilo.

Wamama wabeba kapu wakiwapongeza mama wa Rehema.

Wazazi wa Mwaluko Chilewa.

Mzee wa kanisa mama Masalakulangwa akishusha sala.

Vijana wa sherehe wakisubiri dada rehema awaone.

Hatimaye amepatikana, looking good!

Misosi time.


Familia ya Rehema.

Blanketi kwa mama.

Mwakilishi wa kanisa la Calvary Arusha akitoa neno la shukrani baada ya mambo yote.

Mapozi kidogo...

Mzee Haule kaimalizia sherehe kwa sala.

Kaka Baraka Chilewa pia alikuwepo.

Mkuu Salum na mkewe Isabela wakipose kwa picha.

Mama Gratian na dada Jane.
Rehema ndio huyoo.


Mission accomplished. Arusi itakuwa tarehe 31 March Calvary Temple Arusha. Mnakaribishwa!.

No comments: