Haya ndio magari yangetumika na serikali na idara zake zote...![]() |
| LANDROVER DEFENDER - watendaji wote wa idara za serikali zinazohitaji magari. Hii ni pamoja na wakuu wa polisi magereza na jeshi. |
![]() |
| SUZUKI JIMMY - wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa mikoa na wilaya na wote katika TAMISEMI wanaohitaji magari kama wahandisi. |
![]() |
| TOYOTA RAV4 - mawaziri na manaibu waziri. |




No comments:
Post a Comment