Tafuta/Search This Blog

Friday, June 8, 2012

NGUO ZA ATCL ZILIZOGHARIMU MA BILIONI YA PESA... WIZI MTUPUUUUUUUU!

Sare za wafanyakazi wa ATCL zilizonunuliwa kwa  USD 49,000  ambayo ni = 77,322,000.00 TZS. Hata mdadisi wa kawaida tu ukimwambia kilichotokea hataamini. Lakini ni hali Halisi. Najua hata Fundi wangu aliyeshona nguo ambayo nilitoka nayo ktk Send off ya Mke wangu anaweza kushona. tena kwa Mil 5 ataona awape chenchi.

No comments: