Tafuta/Search This Blog

Saturday, March 16, 2013

Mdogo wetu Maria Mtili ametunukiwa Diploma ya Teknolojia ya Mawasiliano (IT)

Mwaka umeanza na shangwe pia zimeshaanza. Mdogo wetu hatimaye amefanikiwa kumaliza masomo yake na kutunikiwa diploma katika taasisi ya IIT hapo Dar Es Salaam. Hizi ndio picha za tukio.


Pozi la kisomi.


Mdada.

Mama na binti yake.


Mfanano, kama mtu na dada yake.


Fullu tabasamu...



Hongera dada.



...Na hasa kama una akili...


Zaidi ya diploma binti huyu pia alipata tuzo kadhaa kwa kuwa mkali sana darasani.





Tunakupongeza sana mdogo wetu na tunakuombea heri ili uende mbele na mbali zaidi.
Hongera nyingi kutoka kwa kaka mkubwa Godlove.

No comments: