Tafuta/Search This Blog

Tuesday, March 26, 2013

Ni kweli huwa simba anazaa wakati huu??

Mvua kubwa ya jioni wakati jua bado linawaka sana.

Hapa ni KVCC Mwanza.

Tangu nikiwa mdogo, nimekuwa nikisikia kwamba ukiona mvua inanyesha na jua linawaka ujue Simba anazaa.Juzi nikakutana na hili tukio tena lakini hii ya juzi mvua ilikuwa kubwa sana wakati jua linawaka. Kuna mtu anajua ukweli wowote??
Ila cha msingi ni kwamba msimu wa mvua umeanza!

No comments: