Tafuta/Search This Blog

Wednesday, March 20, 2013

Salma Cone Mwanza hapa...

Kijiwe maarufu sana jijini Mwanza kwa mambo ya Ice Cream, Kuku wekundu, Mishkaki, chipsi na mazagazaga yote ya tumboni. Jioni huwa panakuwa busy sana. Makao makuu ya klabu ya mpira wa miguu ya Toto Africans yapo karibu sana na hapa.

No comments: