Tafuta/Search This Blog

Friday, April 5, 2013

Hii nzuri sana...


Leo asubuhi. Ni msimu wa mvua hapa Mwanza na leo asubuhi kulikuwa na mvua kidogo mawingu yalikuwa yametanda upande mmoja wa anga na kuacha nafasi kidogo ya miale ya jua kupenya na kumulika visiwa vilivyopo kwenye ziwa Victoria na kuleta rangi nzuri sana ya dhahabu kama inavyoonekana! Ilibidi tu nipige picha hii kwa kutumia simu yangu ya mkononi maana hii ni taswira adimu na adhimu sana. #Beautiful Mwanza.
Jamani picha yangu hii, itumie kwa ruhusa yangu basi.


No comments: