Tafuta/Search This Blog

Wednesday, July 17, 2013

RAIS MUGABE ATOA TAMKO JUU YA MASHOGA NA WASAGAJI NCHINI MWAKE ADAI LAZIMA WAZALIANE LASIVYO MBARONI

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe ametoa kali ya mwaka kwa kuwachimba mkwara Mashoga na Wasagaji kwamba wasipotiana mimba ni lazima atawafunga jela.


Mugabe ametoa kali hiyo Ijumaa wakati akizindua kampeni za chama chake cha Zanu PF huko Zimbabwe.

No comments: