Tafuta/Search This Blog

Saturday, July 27, 2013

Shule ya msingi Bugungumuki...





Shule tulizosoma sisi wananchi wa kawaida kabisa. Nimeikuta shule hii maeneo ya Ibanda, Mwanza. Ikanikumbusha mbali sana, wakati tukipaka mawe ya shule chokaa ili shule ipendeze.

Ila jina la hii shule ukilirudia mara tatu au nne lazima utapaliwa tu! Bugungumuki!!

No comments: