Tafuta/Search This Blog

Wednesday, August 21, 2013

Kwa hii Singida - Arusha road,Serikali inapaswa kupongezwa!





SBP inaipongeza sana serikali kwa hii barabara ya Singida to Arusha. Barabara ni pana na alama zote za kumuongoza au kumuonya dereva zipo sawa. Tunaipongeza sana serikali kwa kutumia vyema misaada na kodi zetu kwa kuijenga vyema hii barabara.

No comments: