Tafuta/Search This Blog

Monday, March 14, 2011

Inawezekana hukuisikia hii: Oprah Winfrey Opens Church, Founds Religion!!!!

Niliwahi kuliwaza jambo hili kipindi fulani kutokana na jinsi watu wengi walivyokuwa wanamtegemea Oprah kusolve matatizo yao. Habari hii iliandikwa April mwaka jana. Najua huwa tunapenda sana vitu vinavyoibuka ibuka, lakini katika hili hebu tuwe makini. Haya jisomee hapa chini.

Oprah.

Talk-show host Oprah Winfrey today celebrated the opening of her first church and the founding of her new religion, titled O, The Oprah Religion. The multi-tasking Oprah will serve as pontiff and deity for both.
“Expanding on Her enormously successful enterprises in television, film, the web, and Her magazine, Oprah Winfrey brings Her positive, motivational spirit to one of the most highly anticipated new religions since Scientology,” explained spokesperson and new Archbishop for the church, Gayle King, in a press conference in Chicago today.

“O, The Oprah Religion gives confident, smart women the tools they need to explore and reach for their dreams, to express their individual style, and to make choices that will lead to a happier and more fulfilling afterlife.”

“In addition, we’ve eliminated the regressive prohibitions – such as those against shrimp, clothing made of mixed fibers, and premarital sex – that older, outmoded religions still cling to, but which no longer fit in with the lifestyles of their congregations. In fact, Oprah loves to share a shrimp cocktail with her live-in life partner while wearing stretch-wool slacks! Now, with O, The Oprah Religion, you can do the same, and without the threat of everlasting damnation!”

King went on, “O, The Oprah Religion, has all the comforts of a traditional belief system, but combined with the uplifting spirit of Oprah, so that anyone from a religious background will still feel at home when they convert the new traditions of O, The Oprah Religion.”

“For example, instead of a spring fertility festival like Easter or Passover, with O, The Oprah Religion, you’ll celebrate the abundance of Oprah with Her spring holiday Oprah’s Favorite Things, which is observed during the second week of spring sweeps. During this holiday, believers smear the blood of a freshly slaughtered lamb on their television, and in the middle of the day the Holy Spirit of Oprah visits all supplicants and showers them with cashmere pajamas, gourmet chocolates, and Gladware”

“It doesn’t stop there!” added Archbishop King. “The Catholic tradition of confession has been incorporated into O, The Oprah Religion, but with a twist: confession occurs just once per lifetime, is syndicated nationally, and is officiated over by Oprah herself. Since Oprah serves as both pontiff and God in human form, penance is unnecessary, forgiveness is guaranteed, and it’s all done without the use of an intercessor! Verily I say unto thee: O, The Oprah Religion empowers all women with the tools for their own salvation! Praise be!”

Though Winfrey herself officiated over the opening ceremonies for the First Church Of Oprah, Savior, located on Chicago’s Magnificent Mile, O, The Oprah Religion does not require or even encourage Church attendance. Instead, believers are urged to stay home and watch services on their televisions. Regular broadcasts will be held every weekday at 11am. An additional service is planned for the most devout, to be called Oprah, After The Service.

Following her introductory remarks, Archbishop King spread her hands to the heavens, and Oprah herself appeared in the sky overhead, swathed in blindingly white robes and a pair of black leather knee-high boots with stiletto heels. Before Her, a mixed crowd of pre- and post-menopausal women shrieked in excitement, weeping openly at the heavenly vision. Several attendees were so overcome that they collapsed in pools of their own urine.

“Blessed are all who come before Me,” intoned Oprah after floating down to the podium, “and Blessed are all women who come to terms with things! Blessed also is this interesting hand-carved pepper mill; it is one of My Favorite Things! There’s one in each of your gift bags!”

With a flourish of trumpets from an unseen orchestra, production assistants scurried through the crowd, handing out gift bags to all and dispensing Egyptian cotton towels to the women who had wet themselves.

“Blessed is My church, enter ye now and view My services on the giant screen flat-panel Sony television within!” Continued Oprah, “Look within yourself, for you can overcome all obstacles when you believeth in yourself! Look also within your gift bag, as you all get a certificate for a free flat-panel Sony television of thine own!”

With a gesture from Her hands, the doors to the church swept open, and the crowds rushed forth to enter the church as an ivory chariot descended from the sky, whisking Oprah away to her apartment.

“Peace be with you! Praise be to Me!” she yelled as she drove out of sight.

In addition to Oprah’s Favorite Things, other holidays planned for the religion include The Feast Of The Assumption Of Maya Angelou, celebrated each summer with a poetry reading and live bird release, and the month-long Stedmanadon in the fall. Following similar marketing plans by the Kabbalah Center, a line of scented candles in the works, tentatively titled O, The Oprah-scented Candle, though plans for bottled water have been cancelled due to legal problems with Cirque Du Soleil.

Source: Davis McDavis

Japan Tsunami survivor found 10 miles out at sea.


A 60-year-old man has been found on the roof of his floating house nearly 10 miles out at sea, two days after the tsunami that devastated the north-east coast of Japan.

Hiromitsu Shinkawa must have resigned himself to his fate when he was swept away by the retreating tsunami that roared ashore in his home town of Minami Soma in Fukushima prefecture.

As the wave approached, Shinkawa took the fateful decision to return home to collect belongings. Minutes later he was out at sea clinging to a piece of the roof from his own home.

Incredibly, he was spotted by a maritime self-defence force destroyer taking part in the rescue effort as he clung to the wreckage with one hand and waved a self-made red flag with the other. He had been at sea for two days.

Reports said that on being handed a drink aboard the rescue boat, Shinkawa gulped it down and immediately burst into tears. His wife, with whom he had returned home as the tsunami approached, is still missing.

He was quoted as saying: "No helicopters or boats that came nearby noticed me. I thought that day was going to be the last day of my life."

Officials said Shinkawa was in good condition after being taken to hospital by helicopter.

"I ran away after I heard a tsunami was coming," he told Jiji Press. "But I turned back to fetch something from home and was swept away. I was rescued while hanging on to the roof of my house."

The self-defence forces said the good weather and calm waters had allowed Shinkawa to stay alive during his 48-hour drift.

-Guardian UK.

Friday, March 11, 2011

Massive earthquake hits Japan.

Reporters at the Associated Press Tokyo Bureau in Tokyo take shelter under a table while a strong earthquake strikes eastern Japan. (Itsuo Inouye/Assoctiated Press) #

Workers inspect a caved-in section of a prefectural road in Satte, Saitama Prefecture, after one of the largest earthquakes ever recorded in Japan slammed its eastern coast March 11. (Saitama Shimbun/Associated Press/Kyodo News) #
An aerial shot shows vehicles ready for shipping being carried by a tsunami tidal wave at Hitachinaka city in Ibaraki prefecture on March 11, 2011. A massive 8.8-magnitude earthquake shook Japan, unleashing a powerful tsunami that sent ships crashing into the shore and carried cars through the streets of coastal towns. (AFP/Getty Images) #


Fishing boats and vehicles are carried by a tsunami wave at Onahama port in Iwaki city, in Fukushima prefecture, northern Japan. (Fukushima Minpo/AFP/Getty Images) #


A tsumani triggered by a powerful earthquake makes its way to sweep part of Sendai airport in northern Japan on Friday March 11, 2011. The magnitude 8.9 earthquake slammed Japan's eastern coast Friday, unleashing a 13-foot (4-meter) tsunami that swept boats, cars, buildings and tons of debris miles inland. (Kyodo News/Associated Press) #




Light planes and vehicles sit among the debris after they were swept by a tsumani that struck Sendai airport in northern Japan. (Kyodo News/Associated Press) #
Our prayers and thoughts are with these beloved people and especially all Tanzanians who are in Japan.
All picture are from Boston.com

2011 EASTER CONFERENCE, Houston, TX.




Pastor Charles and Catherine Abihudi are cordially inviting you to the 2011 dynamic Easter Conference.
“See I am doing a new thing...Now do you not perceive it?” Isa 43:19

This conference is designed to inspire, encourage, mentor and release you to reach out to your divine destiny.

Time Friday, April 22 at 10:00am - April 24 at 4:00pm

--------------------------------------------------------------------------------

Location Spring Hill Suites Marriott
1101 Magnolia Avenue
Webster, TX

For questions call one of these numbers below.

John Asman 713-624-2445
David Mrema 713-817-0119
Henry Elisha 832-310-6163




Register now at http://www.wakati.net

Fees $65 /person (boarding & meals) before 2nd March 2011

Part time participants (without room & board) is $30 registration fee

For those who will request a private room, the cost will be $79 per nite.


Contacts:youthalive@yahoo.com or call the numbers below 4174230591 or 7136242445

LOLIONDO: The best picture!

Hii ndio picha kali zaidi nimeiona ya kutoka Loliondo! Mkuu huyu pia alipanga foleni ili anywe dawa!!

Saturday, February 19, 2011

GONGO LA MMBOTO: Kombora lamkosa kichanga kitandani



Na Florence Majani



NIPO katika basi la abiria nikielekea Gongo la Mboto ambako maafa yametokea baada ya makombora katika ghala la kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kulipuka.Ninapofika nawakuta wakazi wa hapa wengi wakiwa bado wana wasiwasi, wengine wengi wakiwa wanachechemea na baadhi wakiwa wanaokoteza mabaki ya mali zao baada ya nyumba zo kuungua au kubomolewa na makombora yaliyolipuka usiku wa kuamkia juzi.

Nazungumza nao na kwa nyakati tofauti wakazi hawa wanatoa usemi ambao unawiana, kuwa wameona miujiza.

Wanasema, pamoja na makombora hayo kuacha misiba katika nyumba na familia kadhaa, kusababisha uharibifu mkubwa wa makazi na hata baadhi ya ndugu hasa watoto wadogo kupotezana, lakini wao walikuwa wakikoswa koswa kwa karibu kabisa na makombora hayo na wengine wanakiri kwamba kifo kiliwakosa sentimita chache au ilikuwa chupuchupu.

Kichanga kilichokoswa na bomu kitandani
Wengi husema kuwa watoto ni malaika wa Mungu. Naam ipo miujiza kadha wa kadha ambayo wakazi wa Gongo la Mboto hawataisahau, achilia mbali madhara yaliyotokana na milipuko ya mabomu. Miongoni mwa miujiza ambayo Mungu ameionyesha katika maafa hayo, ni kupona kwa kichanga cha miezi sita.

Makobora matatu yanayokadiriwa kuwa na urefu wa mita tatu na nusu kila moja, yalitua ndani ya chumba kilimokuwa kimelezwa kichanga hicho na moja ya makombora hayo kujikita katika kitanda ambacho alilala kchanga huyo, malaika wa Mungu. Chumba na hata kitanda viliwaka moto kutokana na kulipuka kwa makombora hayo, lakini hii leo kichanga hikipacha, kinachojulikana kwa jina la Kulwa mbali na kupata majeraha madogo madogo kiko hai.

Nazungumza na mama mkubwa wa kichanga hicho, Adia Roki mkazi wa Gongo la Mboto, Mzambarauni, ambaye anasema, siku ya tukio wakiwa hawana hili wala lile, mdogo wake, Rose Roki, mwenye watoto pacha alikuwa nje na Doto wakati Kulwa alikuwa amelala ndani.

“Mdogo wangu ana watoto mapacha, Kulwa na Doto, Doto alikuwa nje amepakatwa na mama yake wakati Kulwa alikuwa ndani amelala, ghafla mlio mkubwa ulisikika lakini watu waliudharau na kudhani kuwa itakuwa radi, lakini ngurumo zilivyozidi ilibidi watu waanze kuchukua hadhari ili kujinusuru,” anasema Adia.

Anasema, baada ya kusikia ngurumo zinakithiri na nyingine zikisikika ndani kabisa ya chumba alimolala mtoto Nasri Kasim(Kulwa) mwenye umri wa miezi sita, mama wa mtoto huyo alinyanyuka na kukimbilia chumbani ambapo alikuta kombora likiwa limejikita katikati ya kitanda ambacho Nasri alilala.

“Alichofanya ni kumchukua mtoto na kutoka nje lakini kabla hajamalizikia kutoka, kombora jingine lilijikita ardhini karibu kabisa na mlango wa chumba hicho na kuzama kabisa sakafuni na kubaki kichwa pekee,” anasema Adia.

Anasema, licha ya majeraha kidogo ya kuungua aliyoyapata, jambo ambalo wanamshangaa Mungu, ni kitendo cha kombora lenye ukubwa ule kukita pembeni na kumuacha mtoto Nasri akiwa salama.

Baba mwenye nyumba wa Rose, Adam Kasaba, anasema, hakuna aliye tegemea usalama wa Nasri kwani kishindo kilichosikika ndani ya chumba kile kilikuwa cha kutisha lakini kwa muujiza wa Mungu, kombora lilimkwepa na kutoboa kitanda likimuacha yeye hai.

Bibi Kizee naye anusurika
Mama Samjela mwenye umri wa miaka 78, mkazi wa Pugu Kajiungeni, shuleni, anasema, ilikuwa saa mbili usiku wakisikiliza taarifa ya habari akiwa na mtoto wake ambaye ni Diwani wa kata ya Pugu, Imelda Samjela, ghafla wakasikia ngurumo za radi, wakazipuuzia lakini walipoona hali hiyo inazidi wakaamua kuzima luninga na kuanza kujisalimisha.

“Tulipoona ngurumo zinazidi mimi na wajukuu na wanangu tuliamua kukimbia lakini mimi presha ikanipanda nikapelekwa hospitali ya Kisarawe, pale tukakuta watu wamejaa na hakukuwa na huduma ndipo nilipopelekwa Tumbi,” anasema mama Samjela.

Anasema, kombora lilitoboa paa la chumba anacholala yeye na kubomoa ukuta hivyo kama siyo Mungu yeye naye angekuwa anaitwa marehemu hivi sasa. Anasema anawaza ingekuwaje kama wakati huo angekuwa amelala katika chumba hicho?

“Baada ya kukimbizana hospitali, huku nyuma kombora lilikuja na kutoboa ukuta wa chumba changu, kwa hiyo kama siyo Mungu, hata mimi ningekuwa nimekufa tayari,” anasema.

Muuguzi anusurika, nyumba yake yateketea kwa moto
Muuguzi wa hospitali ya Buyuni iliyopo Gongo la Mboto, Maserlina Maeda, anasema,licha kuunguliwa nyumba yake, lakini anamshukuru Mungu kwa kunusurika na kifo kwani kombora lilienda kutoboa ukuta wa chumba anacholala na kujichimbia kitandani tena palepale anapoweka kichwa wakati wa kulala.

“Usiku huo mimi na mwanangu tukiwa tumetulia hatuna hili wala lile, tulisikia vishindo tukadhani ni majambazi lakini hali hiyo ilipozidi, mwanangu alipata woga akaanza kukimbia, mimi nikarudi ndani kuchukua fedha lakini nikakuta mlango umefungwa na mimi nikaamua kujisalimisha,” anasema Maeda.

Anasema, yeye na mtoto wake walipotezana na baadaye wasamaria wema walimfuata na kumpa taarifa kuwa nyumba yake inateketea kwa moto.

“Niliposikia hivyo nilichanganyikiwa, nilidhani mwanangu atakuwa naye ameungua na kufariki lakini majirani walinitia moyo kuwa mtoto yu mzima isipokuwa nyumba na mali zilizopo ndani yake vimeungua,” anafafanua muuguzi huyo ambaye sasa anaishi maisha ya kusaidiwa kila kitu kuanzia malazi mpaka mavazi.

Maeda anasema, bomu lile liliangukia katika kitanda chake na kulipuka tofauti na mengine ambayo yalikuwa yanatoboa nyumba bila kulipuka, jambo lililosababisha mali zake zote kuteketea kabisa.

Makombora yavuka nyumba za watu na kuchimbua makaburi

Katika hali isiyo ya kawaida, wakazi wa Gongo la Mboto, Mzambarauni, wanasema , baadhi ya makombora yalikuwa yanavuka nyumba zao na kutua katika makaburi hatua chache yalipo makazi yao.

Mkazi wa eneo hilo, Jamila Mwainunu anasema, anashangazwa na hali ile kwani, nyumba yake haijaguswa hata kidogo na kombora wala haikupata ufa, sio kwamba makombora hayo hayakuwa yakifyatuka upande wake bali yalivuka na kutua katika makaburi yaliyo jirani na nyumba yake.

“Mungu kweli ni wa ajabu, kwangu huu ni muujiza kwani, bomu lile pale (ananyoosheaa kidole juu ya kaburi ambapo bomu limejikita) limevuka nyumba yangu na kwenda kuchimbua kaburi,” anasema Jamila.

Anasema, pamoja na kusikitishwa na maafa ambayo yamewakuta ndugu jama na marafiki zake lakini anamshukuru Mungu kwani makombora makubwa yalikuwa yakivuka nyumba yake na kuangukia katika makaburi jirani kabisa na nyumba yake.

Upendo na kusaidiana
Upendo ulionekana wazi, kwani licha ya purukushani zilizokuwepo wakati wa mlipuko wa mabomu, Watanzania walisaidiana kwani baadhi walichukua jukumu la kuwaokoa watoto wadogo walioonekana kupotezana na wazazi wao.

Nazungumza na Baraka Tumsifu, mkazi wa Gongo la Mboto, Mzambarauni, ambaye anasema, katika kukimbiza roho yake hapo juzi alijikuta akiwaonea huruma watoto wadogo sita ambao walikuwa wamepoteza wazazi wao.

“Imenilazimu kuwaokoa kwani roho yangu haikuiruhusu kuwaacha wapate shida katika kipindi kile, wengine ni wadogo wana miaka mitatu na wanalilia maziwa lakini sina budi kuwalea hadi wazazi wao watakapopatikana,” anasema Tumsifu.

Kwa ujumla, wakazi hao walisema, pamoja na maafa hayo waliyoyapata lakini wanamshukuru Mungu kwa kuwanusuru na makombora hayo hatari ambayo yaliwakatakata baadhi ya watu na kuwatenganisha viungo vya miili yao.

-Mwananchi.
Pichani chini ni ndege ya KLM ikiwa imetulia kwenye uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro baada ya kuahirisha safari yake ya Amsterdam kupitia Dar Es salaam kutokana na milipuko iliyotokea Dar es salaam siku ya Jumatano.

Shalom Broz mpya!!

Wapendwa wadau wetu tunapenda kuwafahamisha kwamba tumefanikiwa kumpata mwandishi wa makala maarufu sana hapa nchini. Huyu si mwingine bali ni kaka Elias Msuya. Kuanzia mwanzoni mwa mwezi huu wa pili tumekubaliana kufanya kazi pamoja na hivyo makala zake motomoto za siasa na mambo mengine yanayohusiana na ishu za nchi yetu zitakuwa zikichapishwa katika blog hii.

Endelea kuenjoy kututembela na usiache kutoa maoni yako!!

Barikiwa sana!!

-SBP.

Friday, February 18, 2011

BAADA YA MABOMU GONGO LA MBOTO

Huu ndiyo uafiri baada ya milipuko ya mabomu katika kambi ya jeshi Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.

Monday, February 14, 2011

Kwanini CCM ilazimishe muungano wa wapinzani Bungeni?

Elias Msuya

MCHAKA mchaka umeendelea katika medani ya siasa wiki hii ambapo Bunge lilizizima pale wabunge wa Chadema walipotoka tena nje ya ukumbi wa Bunge kupinga azimio la kubadilisha kanuni za Bunge ili kuvishirikisha vyama vyote vya upinzani kuingia katika kambi rasmi ya upinzani.
Kikubwa kilichokuwa kikipiganiwa ni neno “kambi rasmi ya upinzani Bungeni” na ajabu ni kwamba wabunge wa CCM wakiongozwa na Spika Anna Makinda walikuwa mstari wa mbele kutaka wapinzani wote washirikishwe kwenye kambi hiyo.
Mabadiliko hayo yalitokana na barua iliyoandikwa na Mbunge wa Wawi Hamad Rashid (CUF) na Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila (NCCR Mageuzi) kwa Spika wa Bunge wakitaka kanuni zibadilishwe ili kambi rasmi ya upinzani Bungeni ivishirikishwe vyama hivyo badala ya kuiachia Chadema pekee kushikilia kambi hiyo.
Hamad Rashid ndiye aliyeshiriki kuingizwa kwa neno ‘kambi rasmi kwenye kanuni za Bunge kwenye mkutano wa tisa alipokuwa kiongozi wa kambi ya upinzani, leo baada ya kukosa uongozi wa kambi hiyo, amegeuka anataka kanuni hiyo ibadilishwe.
Kwa mujibu wa kanuni hizo, chama cha upinzani chenye asilimia 12.5 ya wabunge ndiyo chenye sifa ya kuunda kambo rasmi ya upinzani Bungeni. Chadema ndiyo chama pekee chee sifa hiyo ndiyo maana kiliunda kambi hiyo.
Hadi sasa Chadema kina wabunge wa kuchaguzliwa 25 na wa viti maalum 23. Hali hiyo imeonyesha kuitikisa CCM si majimboni tu bali hata Bungeni ambako kimebaini huenda maamuzi yake mengi yakapingwa hasa kama Chadema itashikilia kamati muhimu kama vile kamati ya Hesabu za mashirika ya umma, Kamati ya hesabu za serikali za mitaa na kamati ya Hesabu za serikali kuu.
Ndiyo maana mkakati ukasukwa na CCM ukivihusisha vyama ambavyo viliachwa na Chadema yaani CUF na NCCR Mageuzi ili kisipate nguvu zaidi.

Kwa muda mrefu, uhusiano kati ya Chadema, CUF, TLP na NCCR Mageuzi siyo wa kuridhisha. Vyama hivyo vimekuwa vikihitilafiana mara kwa mara hata kushindwa kuungana licha ya juhudi mbalimbali zilizofanyika ili kuunganisha nguvu ya vyama vya upinzani.
Mambo yalizidi kuwa mabaya zaidi kwa kadiri uchaguzi mkuu wa mwaka jana ulipokaribia, ambapo mpasuko kati ya vyama hivyo ulivyopendelea kupanuka.
Vyama hivyo vilifikia hata kushindania sehemu ambazo kama vingeungana vingekishinda CCM, lakini bado vikaendelea kuvutana.
Hata baada ya uchaguzi mkuu, kumekuwa na makovu mengi kati ya vyama hivyo. kwamfano NCCR Mageuzi kimekishitaki Chadema mahakamani kwa madai ya kuchezewa rafu katika uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Kawe ambalo limechukuliwa Halima Mdee kwa kumbwaga mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia.
Chama hicho pia kimekuwa kikitoa maneno ya kejeli kwa Chadema na kuona afadhali kushirikiana na CCM kuliko Chadema.
Kama hiyo haitoshi, Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila ni majeruhi wa siasa ndani ya Chadema, kwani alifukuzwa kazi baada ya kutokea kutokuelewana na uongozi wa chama hicho. kwa vyovyote vile hana uhusiano mzuri na Chadema.
Kwa upande mwingine maridhiano yaliyofikiwa Zanzibar kati ya CCM na CUF yamezidi kuichanganya kambi ya upinzani. CUF imejiweka njia panda kwani huko Zanzibar siyo chama cha upinzani tena kwakuwa kimeunda serikali ile ile ya CCM. Lakini kikija bara kinapingana na serikali. Hapo ndipo Chadema kinapata utata wa kukishirikisha kwenye kambi ya upinzani.
Hali zote hizi hazitoi fursa nzuri kuwa na kambi ya pamoja ya upinzani Bungeni. Lakini kwakuwa kina Hamad Rashid na Kafulila wamedai kushirikishwa kwenye kambi hiyo, CCM nayo ndiyo imepata pa kushikia na hapo ndipo kinatafuta kukibomoa Chadema kinachoonekana kuwa na nguvu.
Hoja ya kuwa na kambi ya pamoja ya upinzani ilishadidiwa na wabunge wa CCM wakitaka kubadilishwa kwa kanuni za Bunge ili kambi ya upizani ishirikishe vyama vyote na siyo Chadema pekee. Walitumia kila aina ya msamiati kubariki mabadiliko hayo, hali iliyokataliwa katakata na Chadema na hivyo wabunge wake kuamua kutoka nje ya ukumbi wa Bunge kama ishara ya kutokukubali.


Ni kweli vyama vya upinzani vinapaswa kushirikiana, lakini Napata wasi wasi na na ushawishi huu wa CCM. Tangu lini CCM ikaunga mkono muungano wa vyama vya upinzani?
Ni CCM hiyo hiyo iliyopinga mabadiliko ya Katiba yanayoviwezesha vyama vya upianzani kuungana bila kupoteza hadhi zake. Kwa maana hiyo ili vyama hivyo viungane ni lazima vife ili kiwe chama kimoja jambo ambalo wapinzani hawalitaki.
Huo ndiyo umekuwa mkakati mkubwa wa CCM kuhakikisha kuwa vyama hivyo haviungani ili visije vikashika dola. Ndiyo maana imekuwa vigumu kwa vyama vya upianzani kuungana miaka 19 tangu mfumo wa vyama vingi urudishwe.
Baada ya kuona hivyo kila chama kimekuwa kikicheza kivyake ili kujijenga. Ndipo katika uchaguzi wa mwaka jana Chadema kimejitahidi kupata wabunge wengi na kufikia kiwango cha asilimia 12.5 ya kuweka kuunda kambi rasmi bungeni.
CCM ile ile isiyotaka muungano wa wapinzani inakuja na kuutaka muungano huo Bungeni. Huu ni unafiki, CCM kinalia machozi ya mamba, hakina jema lolote na umoja wa wapinzani. Lengo ni kuua upinzani.
Hivi leo kama Mbowe atakuwa kiongozi wa kambi ya upinzani inayovishirikisha CUF yenye ushirikiano na CCM Zanzibar, huku NCCR Mageuzi iliyoishitaki Chadema, TLP ambayo pia haina uhusiano mzuri na Chadema, hiyo itakuwa kambi gani ya upinzani? Hapo ndipo malumbano yatazuka kwa wapinzani, huku CCM wakishangilia.
Lengo la wabunge wa CCM ni kuhakikisha kuwa Chadema chenye wabunge wengi kinakosa utawala wa kamati nyeti za Bunge na hivyo kuwakosesha nguvu ya kuhoji Bungeni.
Kwakuwa vyama vya upinzani mbali na Chadema vimepewa nguvu na CCM katika kuingizwa na kwenye kambi ya upinzani, vitashindwa kufurukuta hata kwenye maamuzi.

Lengo la baadhi ya viongozi wa CCM ni kuzima hata upinzani ndani ya CCM yenyewe kwa kushika kamati nyeti. Wanataka walidhibiti Bunge ili zile kelele za ufisadi safari hii zipungue, wajisafishie njia ya uchaguzi wa mwaka 2015. Rejea mchakato wa kuwapata wenyeviti wa kamati 16 za Bunge.

Matokeo yake Bunge litarudi kuwa la chama tawala, bunge linalotetea maslahi ya wachache wanaotuhumiwa kwa ufisadi huku chama kikiwalinda.

Wednesday, February 2, 2011

Joseph Msami Atangaza nia. Aweka hadharani Mchumba wake.

Joseph wa Msami Akiuza sera mbele ya umati katika kanisa la Tanzania Fellowship of Churches Sinza Christian Centre Jumapili iliyopita tar30 Jan 2011
Anasema "Alikua kama dada yangu mwanzoni, nilipomwambia sikuamini kama angekubali, Lakini kama Muujiza demu akakubali"
(Nyosha kidoleeeee Adela! sinania mbaya kukurudisha .........)
Pokea pete hii iwe alama ya Kukuonesha wewe Adela ni mchumba wangu halali.


Vituko vilitawala. Chadema haikuachwa nyuma na Mtaalamu huyu.

Kama utani, Ila dogo alidiriki kuficha soda ili atleast anywe soda angalau 9 kama ilivyo kawaida yake. Aliogopa watu wanaweza kupewa kwani zilikwisha mapema.

Hapa Joseph akipokea mkono wa PONGEZI kwa mkono wa kulia wakati wa kushoto ukiwa umeficha soda 2 aina ya Kokakola.

Mchumba wa Msami Joseph akiwa deep katika Maombi, Kulia Joseph msami akifurahia Tendo hili la kukabidhiwa kwa Bwana. unaweza kushangaa wakati Askofu akiwaweka wakfu watu hawa alikua na FULL UPAKO lakini dogo anafurahia. Kizuri zaidi angalia picha ya chini

Joseph akimcheki Mchuchu wake kwa jicho la Upanga. Sijui haamini kuwa ni wake au vipi! Maombi yanaendelea na Shalom Broz wanaendelea na kazi, Kamera yetu ilimnasa Msami hajafumba Macho na anampiga CHABO mchuma wake. Hahahahahahahahahahah!