Tafuta/Search This Blog

Wednesday, February 2, 2011

Joseph Msami Atangaza nia. Aweka hadharani Mchumba wake.

Joseph wa Msami Akiuza sera mbele ya umati katika kanisa la Tanzania Fellowship of Churches Sinza Christian Centre Jumapili iliyopita tar30 Jan 2011
Anasema "Alikua kama dada yangu mwanzoni, nilipomwambia sikuamini kama angekubali, Lakini kama Muujiza demu akakubali"
(Nyosha kidoleeeee Adela! sinania mbaya kukurudisha .........)
Pokea pete hii iwe alama ya Kukuonesha wewe Adela ni mchumba wangu halali.


Vituko vilitawala. Chadema haikuachwa nyuma na Mtaalamu huyu.

Kama utani, Ila dogo alidiriki kuficha soda ili atleast anywe soda angalau 9 kama ilivyo kawaida yake. Aliogopa watu wanaweza kupewa kwani zilikwisha mapema.

Hapa Joseph akipokea mkono wa PONGEZI kwa mkono wa kulia wakati wa kushoto ukiwa umeficha soda 2 aina ya Kokakola.

Mchumba wa Msami Joseph akiwa deep katika Maombi, Kulia Joseph msami akifurahia Tendo hili la kukabidhiwa kwa Bwana. unaweza kushangaa wakati Askofu akiwaweka wakfu watu hawa alikua na FULL UPAKO lakini dogo anafurahia. Kizuri zaidi angalia picha ya chini

Joseph akimcheki Mchuchu wake kwa jicho la Upanga. Sijui haamini kuwa ni wake au vipi! Maombi yanaendelea na Shalom Broz wanaendelea na kazi, Kamera yetu ilimnasa Msami hajafumba Macho na anampiga CHABO mchuma wake. Hahahahahahahahahahah!

1 comment:

Anonymous said...

Shemejiii... Many congratulatins!! Hee heeee... Welcome to the world. Mimi ni anonimas.