Tafuta/Search This Blog

Saturday, February 19, 2011

Shalom Broz mpya!!

Wapendwa wadau wetu tunapenda kuwafahamisha kwamba tumefanikiwa kumpata mwandishi wa makala maarufu sana hapa nchini. Huyu si mwingine bali ni kaka Elias Msuya. Kuanzia mwanzoni mwa mwezi huu wa pili tumekubaliana kufanya kazi pamoja na hivyo makala zake motomoto za siasa na mambo mengine yanayohusiana na ishu za nchi yetu zitakuwa zikichapishwa katika blog hii.

Endelea kuenjoy kututembela na usiache kutoa maoni yako!!

Barikiwa sana!!

-SBP.

No comments: