Tafuta/Search This Blog

Wednesday, January 21, 2009

Ladies and Gentlemen...the president of the USA!!


Barack akila kiapo kwa ajili ya majukumu yaliyo mbele yake!!


First Lady na Prezzoo wakipunga kwa wananchi.

Askari wa marekani akilia wakati akitazama uapishwaji wa Rais Barack H. Obama. Kijana huyu yuko Iraqi.

Kama na sisi waTanzania tungeipenda nchi yetu na kuwa wazalendo kama wamarekani, nadhani tungekuwa mbali kidogo. hili ni jambo la kujifunza kwa kweli.

Picha zote kwa hisani ya http://www.msnbc.msn.com

No comments: