Tafuta/Search This Blog

Thursday, October 28, 2010

Arusha leo.

Wakati joto la uchaguzi linazidi kupanda hapa kwetu Tanzania, leo nimepita maeneo ya Arusha na kupata hizi picha.

Nyumba moja na wanafanya kazi moja lakini mitazamo ya kisiasa ni tofauti. Ni kama hasi na chanya. Lakini utanzania wao ni wamuhimu zaidi ya mitazamo yao.

Nimekutana na hili gari, hata sijui linaitwaje ila ni lakizamani sana lakini liko maintained vizuri sana!! Nimelipenda. kwa wanaojua jina lake hebu nisaidieni basi!!

1 comment:

Anonymous said...

Labda Mgomgo wa ng'ombe!