Tafuta/Search This Blog

Wednesday, October 13, 2010

Kidato cha nne wamaliza shule akiwemo Yusuph

Yusuph Kijana aliyeonekana mpole na Mtanashati alipokea cheti cha kuhitimu Elimu ya Sekondari katika shule maarufu hapa mjini Dar es Salaam inayoitwa Kambangwa.

Hatuna Shaka Umati Ulimshangilia na kushuhudia jinsi alivyopokea Cheti chake

(School Leaving Certificate)

Kwa kutambua Uchapakazi wa Yusuph na wanafunzi wa Darasa lao Mwalimu wa Darasa alipiga nao picha ya pamoja.

Baba Mzazi alimuandalia Yusuph keki nzuri ya rangi ya yenye maandishi ya Pinki kuonesha ameshinda.


Walimu waliandaa michezo hata kuwaita Makirikiri wa Bongo wanaotesa mji kwa miondoko ya KIDUKU.

He! Mara Graduation ilipokwisha! Uwiiiii!! Yusuph kaanza mambo haya.



Sasa amezidisha na Alama za Freemason kila anakokwenda.
Nichukue nafasi hii kutoa RAI, wadogo zangu Mtaani Kuzuri ila msiingie kwa Pupa.


No comments: