Tafuta/Search This Blog

Friday, August 19, 2011

Picha kali zaidi kutoka mjengoni!

Waziri mkuu wa Tanzania mh. Pinda akiwa na mazungumzo na kijana wake Mh. Lema mbunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya CHADEMA.

Sijui wanaongelea yale maandamano ya Arusha....

Picha ya Father Kidevu.

No comments: