Tafuta/Search This Blog

Wednesday, February 25, 2009

Barabarani...

Huwa naona hawa watu wa mabasi wana kazi kubwa sana!! Kuanzia wanaanza safari hadi wanamaliza wanakutana na vikwazo vingi sana kama hiki!! Kaazi kweli kweli!!

Hapo ni maeneo ya Sanawari jana mchana.

No comments: