Tafuta/Search This Blog

Monday, September 23, 2013

KENYA, We are praying for you!!!


Wapendwa wetu waKenya,

Tunafahamu ugumu wa hali mnayopitia wakati huu. Tunalia pamoja nanyi na kwa kweli kitu pekee tunaweza kukifanya wakati huu ni KUWAOMBEA. Tunawakumbuka sana katika maombi ili wakati huu upite na Mungu awatie nguvu za kuvumilia na kuwapunguzia ugumu na uzito wa majonzi haya.

Tunafahamu kwamba matendo kama haya yanadhihirisha UWOGA wa maadui zetu, na tunajua adui huyu mtamshinda kwa UMOJA wenu. Kwa hiyo pigeni moyo konde na umoja wenu na utaifa wenu uongezeke sana sasa maana wakati kama huu mnahitajiana zaidi.

Mungu awe nanyi daima!!
We are praying for you!

SBP.

No comments: