Tafuta/Search This Blog

Friday, March 6, 2009

SWALI!!


Hivi maaskari wa usalama barabani wapo kwa ajili ya kuwasaidia madereva na watumiaji wengine wa barabara au wapo kukusanya mapato ya serikali (na yao binafsi)?????


Mbona huwa wanakaa maeneo ya kujificha? Wanamtega nani? Please help me!!

No comments: