Tafuta/Search This Blog

Monday, March 23, 2009

World Meteorological Day!


Leo ni siku ya hali ya Hewa duniani. Mamlaka za Hali ya hewa duniani kote zinasheherekea siku hii kwa kuweka wazi shughuli wanazozifanya kwa wananchi.

Katika siku hii mimi binafasi ninapata nafasi ya kuwa kumbuka marafiki zangu na ndugu zangu wengi wanaofanya kazi katika mamlaka ya Hali ya Hewa hapa Tanzania(TMA). kwa kweli ninawapongeza kwa kazi nzuri ingawa ni ngumu na ninawatakia wakati mwema katika kazi yenu.

Big up to; Noel Sanga, Kulwa Mbwambo, Chubwa, Mpinda, Catherine Masele, Hazla Shaaban, Hassan Ame, Kijazi Justice, Nyenyema Nyandindi Danford, Mgalula, Pamela, Lufurano, Abel Nyamenda, Mzee Mpatwa, Mande, Mayunga, Msomba, Kwedilima, Kaluse Athumani, Judica Mushi duh naona nikiwataja wote nitaishia hapa leo.


Miss you guys!!


-Godlove.

No comments: