Kama kawaida ya makanisa ya Assemblies of God ulimwenguni kote, kila mwaka kunakuwa na siku ya wamama ambapo wanapata nafasi ya kudisplay mambo wanayofanya wakiwa katika umoja wao. Jana wamama/wanawake wa kanisa la Calvary temple walishrehekea siku yao. Hizi ni baadhi ya picha.

Mchungaji Journey Kombe anayesimamia huduma ya wanawake akiwa katika mstari wa kwaya pamoja na wanawake wengine.
 


 Na hili ndio neno la Mungu.
Na hili ndio neno la Mungu. viatu hivi pia vilikuwepo kanisani jana!
viatu hivi pia vilikuwepo kanisani jana! 
 
No comments:
Post a Comment