Tafuta/Search This Blog

Thursday, February 11, 2010

Bungeni DOdoma. Rich-Mond ndio imekufa?


Dkt Wilbrord Slaa, Edward Lowasa na Juma Kilimba (Wabunge) wakiteta nje ya ukumbi wa bunge. Hoja ya RICHMOND ndio nitolee hivyo.,,, Mimi binafsi sijaridhika kabisaaaaa sijui nyie wenzangu.. Waharibifu kama hawa wakiachwa waendelee kutufilisi tutafikia wapi kimaendeleo?

No comments: