Tafuta/Search This Blog

Saturday, February 20, 2010

Huwa unapata muda kutulia na kusikiliza??

Nilikutana na huyu kijana katika mkutano wa injili alikuja mwenyewe akatafuta mahali palipotulia hakutaka kukaa na vijana wengine wa umri wake bali alikaa mwenyewe na akatulia kusikiliza. Kuna kitu umejifunza??

No comments: