Tafuta/Search This Blog

Saturday, May 8, 2010

Ukitaka kuishi Dar Es Salaam lazima ugangamale!!

Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia....

Uwe tayari kutembea kwa miguu wakati daladala zipo... mambo ya foleni! (Misuli iwe ya ukweli)


Hata kama una gari hakikisha umelifanyia matengenezo ya kuliwekea engine ya boat...maana katikati ya barabara kuna mabwawa ya kufugia samaki wa serikali!!



Uwe tayari kuvunja sheria. wakati mwingine itakupasa kupanda daladala kwa kupitia mlango wa dereva!!
Upo tayari kuhamia Dar es salaam?? Kama bado anza mazoezi au vipi achana kabisa na wazo hilo!

No comments: