Tafuta/Search This Blog

Tuesday, November 16, 2010

Stanley Atema Chehe Atangaza Kuanza rasmi Mchakato wa kuaga ubachela

Naitwa Stanley A. Msami

Natangaza kuanza rasmi mchakato wa Kuoa. leo tar 14 Nov 2010


Akimweka Hadharani Mchumba wake Jenifa..Jamani Analipa HAlipiiiiiii?


Analipaaaaaaaaaaaa


Joseph Msami akimpongeza Shemeji/Wifi mtarajiwa (Alimpa zawadi ya Khanga)

Wamama wakimpongeza Mwali (Mwai kwa Kipare)



Wadau wa karibu waliokusanyika.
Haya Matumizi Mbadala hayo ya meno....








Pozi la kukubali kuolewa.


Full figure! Aibu kwa mbaaaaaaaaaaliiii


Mwai pamoja na Mama Mkubwa wa Stanley.



Wazamiaji hawakosagi...


Mwisho Mzee wa familia Mr. Mchome aliomba wadau wafanye Pledge ili kuanza mchakato Mzima wa Harusi. Watu tuliahidi vya kutosha. Natoa wito kwenu wadau kutoa Pledge ili kijana wetu apate jiko. Sio kwa ndugu na Marafiki tu, bali hata wewe.
Wasiliana hapa kutoa pledge 0716176843. Karibu kwa maandalizi.

1 comment:

Anonymous said...

Wow! It is always good to see u guys r doing good and progressing! Fantastic!! We wish u all the best in your wedd preparations.
Tupo pamoja.