Tafuta/Search This Blog

Monday, July 27, 2009

From Kilimanjaro with Love

Air Tanzania Dash-8 at the apron.

Kilimanjaro tower.

Ndege huyu anaitwa ndege joni. Sijui sababu yeyote ya jina hili. Hapa ni katika bustani za uwanjani. Huyu ndege anajua time table ya chakula katika mgahawa uliopo katika bustani hii.


Kaka Gee akipozi kupiga picha lakini huyo ndege joni naye akaweka pozi kali zaidi, ana masifa huyo!!

No comments: