Tafuta/Search This Blog

Monday, June 21, 2010

Familia yaongezeka...

Hatimaye katika familia ya Mr & Mrs Mwakajila (Jojo Jose na Matilda Mlay) amezaliwa mtoto wa kike wiki iliyopita. Mama pamoja na mtoto wote wako salama na wenye afya njema.

SBP tunapenda kumshukuru Mungu pamoja nanyi kwa baraka hii kubwa katika familia yenu. Na kama ilivyo ada tutakuja kuleta uvumba na manemane na kunywa mtori japo kidogo katika kumsindikiza Matilda.

**Mr & Mrs Mwakajila ni watumishi wa Mungu katika uimbaji na ni wadau wa karibu wa hili baraza.

No comments: