Tafuta/Search This Blog

Saturday, June 19, 2010

Tangi J atangaza nia!!


Hatimaye kijana wetu Joshua Lwendo almaaruf Tangi J(in the box) leo ametangaza nia nyumbani kwa mchungaji Nathaniel Sasali kwamba analo kusudio la kumuoa binti yake aitwaye Happy!

Akiwa amesindikizwa na mshenga maarufu mzee Kalinga pamoja na washangiliaji lukuki waliobeba mavuvuzela yao kijana aliutangazia umma kwamba amekua.

Haya sasa tunasubiria mpunga! Hongera Tangi J!!

No comments: