Tafuta/Search This Blog

Friday, June 18, 2010

Mwananyamala...

Mambo ya mwananyamala...



Hii nyumba ipo maeneo flani ya mwananyamala. Inaonekana ni ya miaka mingi iliyopita na imechoka na bahati mbaya zaidi imekaa kwenye mkondo wa maji. Ninaamini baada ya miaka michache nitakuta nyumba nyingine kwenye eneo hili kali sana.
Ila nimependa sana ujumbe niliokuta kwenye mlango wa mbele wa nyumba hiyo!!

No comments: