Tafuta/Search This Blog

Wednesday, October 8, 2008

Haya tena. Mdau huyu

Mr Elfadhili maarufu Solo mara baada ya ya sikukuu ya CAs

Tarehe 5 October 2008 ilikua sikukuu ya Vijana ktk makanisa ya TAG( Tanzania Assemblies of God) Pale Kigogo/Mburahati matukio kadhaa yalirekodiwa. Ona

Kwaya ya Vijana maarufu kwaya ya CAs- Kigogo wakirindima Juu ya jukwaa. Kutoka kulia ni Ruben Kodekode, Enson, John, Mussa, Neema (Ticha) Neema Tembo naLinna.
Wengine kidogo hao
Kutoka kushoto ni Mwanamuziki Timoth, Dickson, Dorcas, Magreth
Neema akiimbisha kwa mbwembwe za kutosha, na kwa nyuma yake ni Dancer maarufu Mr Mussa, anaonekana akiyarudi na kujirusha kwa madaha ya ajabu.
Huyu ndiye alitulisha NENO la Bwana. hapa anakabidhiwa mimbari ili Mungu aseme na kanisa.

Monday, October 6, 2008

SARAH'S CPA GRADUATION CEREMONY 04/10/2008


Haya ni matukio katika Picha katika Graduation Ceremon ya Dada Sarah. Ilifanyika tar 4 October 2008 pale Mhasibu House Dar es Salaam. Kwa wale wenyeji wa Jiji hili wanajua ni karibu kabisa na Maktaba Kuu.

Kitu ambacho kilishangaa wengi ni kile kitendo cha Dada Sarah kumaliza Masomo yake ndani ya Miaka Miwili tuuuuuuuuuuu. Kweli Hata mimi nilisahangaa kiasi hicho.

Niligundua Baadae baada yakutafiti kuwa Sarah humtegemea Mungu katika mambo yake na huo ulikua Msaada wa MUNGU Kwake.

Posts by Shalom Broz Productions.
Pictures by Eneza (Enson)

SIKU ILIYO FANA SANA YA DADA SARAH KUMALIZA MASOMO YAKE YA CPA. Tar 3/Oct 2008

Sara pamoja na wenzake wakitembea kabla ya kupewa vyeti mapema Tar 4. oct. 08
Sarah na wenzake
wote hawa waligraduate

Baadhi ya Watoa zawadi wakionekana wakimsikiliza Mgeni rasmi

Mambo ya Sarah alipopata CPA yake Hapo Tar 4/Octoba/2008. Kizuri zaidi ametumia Miaka miwili tu Kumaliza CPA yake. Kwa kifupi anastahili Pongezi Kubwa

MAtha na Angel wakifurahi pamoja na Sarah
Matha Dory na Queen na Shem kwa mbaaaaali
Angel na Mwansiti wakimpeleka kwa furaha Sara kufurahia vzr siku hiyo
Crew nzima, Matha, Queen, Angel, Mwansiti, wakimsubiri kwa hamu Sarah aje wampe HUGS siunajua tena!!!!
Mgeni wa Heshima Naibu waziri wa Fedha akimkabidhi Sara CHETI. CPA Hiyo
Weeeee acha tu Mambo yaliku safi sana. Mtumishi wa Mungu Sarah alipopata CPA

Sarah Pamoja na Viongozi.

Sarah Alipendeza kupita kiasi.

Alikuepo Naibu waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Matukio mbalimbali Graduation Cecrmony ya SARAH

Sara akitoa neno ;la SHUKURANI kwa Mungu kwa kazi iliyofanyika. ASANTE YESU KWA KUNIFANIKISHA
Maeneo ya LAMADA ilikua ni sehemu ambayo mpiga picha wetu alipapenda. Nzurieeee
Sara, katikati, Matha upande wa kushoto na Angel uande wa kulia. Sara alivua tu Joho ili apate kaupepo kidogo. unajua tena Bongo joto kali
Frank akimlisha Dada yake Keki kama pongezi ya kupiga CPA tar 4Oct 2008 hiyo

Ndani ya Lamada, Maakuli na Makeki

Mambo ya Msosi. Chakula kizuri kama hivi
Baada ya Kutoka Mhasibu tulijikita hapa LAMADA kwa ajili ya kusherekea zaidi kama unavyoona. Queen akipata Keki

Sunday, October 5, 2008

Salamu za dada Firiana kutoka Ngorongoro

Dada Firiana, mdada wa KiAfrika kama anavyojitambulisha mwenyewe ametutumia picha hizi za safari yake ya Ngorongoro.

Mchungaji wa pundamilia!??


mapozi ya kimasai


zebras


crater


Kwa maneno yake mwenyewe anasema, "Hizo ndo picha nilizozichukua bondeni. Kule bwana ndo sehemu pekee wanyama na binadamu wanaishi pamoja, wamasai wanachunga na wanyama pori nao wanaendelea na business zao.
Picha hiyo nyingine ni ngorongoro kwa juu, ukiwa juu huoni wanyama chini mana ni mbali.
"




Sisi tunampongeza sana dada Firiana kwa kupenda kutembelea hifadhi zetu za Taifa na pia kwa kupenda kujivunia uAfrika wake. Big up sana dada!!

Thursday, October 2, 2008

Simon tunayemfahamu!


Ze injinia!!


teh teh... ze Smile!!!


kaka unakiona kidole lakini???


Huwezi amini kwamba jamaa woote wanaoonekana kwenye hiyo picha "bado wapowapo" kasoro Simon. (Duh Hadi Fadhili a.k.a Solo)


Haya ndio mambo ya kaka Sai wa CAS. Sina la kuongezea...

Picha hizi ni kwa hisani ya mwandishi wa kujitegemea na shemasi wa viti maalum ndg Elias S. Msuya ambaye pia ametahadharisha kwamba watu wenye macho ya mamba watapatwa na kilichompata Mtikila huko Tarime.