Tafuta/Search This Blog

Monday, March 1, 2010

Eti Nimetumiwa mkasa ule wa MANYOYA pale Selander Bridge. Mtumaji wa picha anadai huyu ndiye aliyepata manyoya baada ya kutoa msaada kwa ombaomba....

Eti alipofika home akaona Manyoya yameanza kushika kasi, akatoa nguo kuhakikisha kama ni ndoto au ukweli yanatokea...


Du! Minnyoya ikazidiiiiiiii


Haya tena, hata hana haja ya kuvaa nguo....

Mwisho akazoea maisha.

Mail niliyotumiwa eti inasema jamaa huyu sasa hivi ameshazoea manyoya na anapita mitaani kama kawaida.... (Joke)

No comments: