Tafuta/Search This Blog

Friday, March 5, 2010

Long time ago...

Enson(Aliyeweka mikono mifukoni), Elfadhili(Aliyeshika usukani), Elias(Aliyejikunyata), Erica (Aliyepiga gauni ya njano), Paulina(Pembeni ya Erica amekaa juu ya pikipiki). ((Hao ni ndugu wa familia moja))
Mbele waliochucumaa ni Kabula na Madudu, Dogo mwenye suti ni Hossen, na Mdada mkubwa kulia ni Vyola. Huyo mbaba simkumbuki kabisaaaaaa..

No comments: