Tafuta/Search This Blog

Thursday, April 29, 2010

Banda la Mambo ya Tume ya Nguvu za ATOMIC Tanzania Atomic Energy Commission

Nilivutiwa sana na maonesho katika Banda hili, hata nikaomba mwelimishaji anipige picha.
Wanashughulika sana na mionzi kama ilivyo ya Urani.

Athari za muda mfupi kwa atakyegusa mionzi kama ya Uraniam



Mwelimishaji aliniambia kuwa mpaka kuweza kutengeneza umeme hapa tanzania, inaweza kuchukua hata miaka kumi au zaidi. Hivyo tuna safari ndefu.

1 comment:

Anonymous said...

Mamaaaa! kumbe mbaya hii madini e?