Tafuta/Search This Blog

Saturday, April 10, 2010

Mbwa wa Arusha...

Jamani kama kila jiji litaamua kutengeneza bendera yake nadhani sasa jiji la Arusha kwenye bendera yake wataweka picha ya mbwa. Hakuna sehemu hawa viumbe wamezagaa kama katika hili jiji. Hivi mamlaka zinazohusika wanawaonaga kweli au ndio wamekaa kuvimbisha matumbo yao tu bila kufanya kazi?? Inakera inaudhi. Hawa niliwakuta nje ya Bank ya NBC, Arusha branch wanakula good time hawana wasiwasi tena ilikuwa ni mchana wa saa saba. Hii ni aibu kubwa sana kwa jiji hili mnaloliita Geneva ya Africa!!





Naamini sitachukiwa kwa kusema ukweli...

No comments: