Tafuta/Search This Blog

Thursday, April 29, 2010

Maonesho ya Vyuo vikuu Diamond Jubilee. Hapa ni Banda la SUA...

Banda la SUA. Sokoine University of Agriculture

Panya Weupe. Kwakweli kwa hali ya Kawaida ni wazuri, nilikua natamani hata niombe mmoja wa kufuga.


Panya huyo ni buku, na nimtaalamu wa kutegua mabomu. Ukileta bomu hapa lazima aamke.
Ktk banda hili nilipata nafasi ya kuuliza kwanini hawa panya hawakutumika kutegua mabomu mapema pale mbagala. ila waliletwa baadae sana. Mwelimishaji alisema hivi! Baada ya mabom kulipuka, haikua sawa kuwaleta wale panya ili kutafuta mabomu kwani anga lote mahali pale lilikua na harufu ya mabomu. Panya huyu angeshindwa aoneshe wapi.
Tembelea SUA ujionee.

No comments: