Tafuta/Search This Blog

Sunday, April 18, 2010

Maisha bora kwa kila mTanzania!

Huu ni mwaka wa uchaguzi (bila kujali utabiri wa sheikh Yahaya) na watawala wanakuja tena kwetu kutuomba kura/kula kama walivyokuja kwetu hapo awali.
Chama tawala katika kampeni za uchaguzi zilizopita walituahidi MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA. Hizi picha nimepiga kwenye weekend hii miaka mitano tangu maisha bora yalipoahidiwa...

Wamama wakiwa wanajikwamua kwa kuuza mbogamboga na matunda.


Haya ndio aina za masoko yetu.


Nyumba ya mTanzania.


Kijana wa kiTanzania akiwa anahesabu sarafu alizopata kwa kuuza vinywaji na biscuits.

No comments: