Tafuta/Search This Blog

Sunday, August 8, 2010

Praise and Worship Month, Calvary temple

Kama kawaida na ratiba ya kanisa la Calvary temple Arusha, mwezi wa nane ni mwezi wa kusifu na kuabudu pamoja na shukrani. Mambo yameshaanza na sifa pamoja na ibada zinaendelea!!

Hii ni katika ibada ya jumapili ya leo tarehe 8 August 2010.

mass choir.


Ndg Pondo akiwa sambamba na mwimbaji Jobiso kutoka Moshi pamoja na wwatumishi wengine wakicheza kwa furaha.


Tolla G na ndugu Samuel nao hawakubaki nyuma.


Kama wewe ni mkaazi wa Arusha unakaribishwa sana kwenye ibada zetu kila jumapili na jumatano pamoja na ijumaa.

2 comments:

Anonymous said...

G. Thank you a lot for posting,

You are such great person. I love your initiatives.

I cannot thank you enough.

May the Lord Anoint you big time in Jesus Name. Amen

PRAYGOD

Anonymous said...

It was really great last sunday at Calvary temple, the worship was so powerful and the holyspirit moved in a such a mighty way. God bless u Godlove.