Tafuta/Search This Blog

Friday, September 10, 2010

Kufika kwanza, usalama baadae...

Ndio kawaida yetu, sijui ni kutokana na malezi au vipi lakini suala la usalama wa mtu binafsi anataka aambiwe na mkuu wa polisi au hata mkuu wa wilaya!!

Arusha.

No comments: