Tafuta/Search This Blog

Tuesday, September 28, 2010

Siku ya Elifadhili na Catherine



Hatimaye yule kijana aliyejulikana kama bachela sugu, AMEOA!! Elifadhili Solomon Msuya amejivutia ubavu wake tarehe 26 september hii katika kanisa la TAG Kigogo DSM.
Ndoa hiyo ilisajiliwa na mchungaji Huruma Nkone na SBP kama kawaida tulikuwepo kumtoa kijana wetu ambaye pia ni mdau mzazi wa SBP.
Mipicha ndio hii...

Pastor Nkone akitoa neno la ndoa.

Kwa makini wakimsikiliza Pastor. Bestman Francis Saliboko akisikiliza kwa umakini mkubwa.

Ndio yeye?? Fadhili akihakiki kama hajapigwa changa la macho.






Hapa ni kuwekana kifungo cha pete.




Catherine akimvisha pete mumewe.



Wachungaji na wamama wachungaji wakiwaombea vijana wao ili wawe na maisha mema ya ndoa. picha zaidi zitakujia baadae.

Baadae ilikua tamu kama hivi....

No comments: