Tafuta/Search This Blog

Thursday, September 30, 2010

More from Fadhili and Catherine's wedding day

Kwanza Catherine almuangalia mumewe....


Kisha akamkumbatia na kumbusu baada ya kula keki...


Wafanyakazi wenzake na Fadhili (VETA) wakiongozwa na mkurugenzi mkuu wao wakipiga picha ya ukumbusho baada ya kumpa kijana wao mkono wa pongezi.

Vuvuzela orojino kutoka kwenye wooza pia lilikuwepo kumtoa kijana wetu kimasomaso...

Najua ndugu zangu wenye apetite hapa mtapata shida sana....huu ndio msosi uliokuwa kwenye sahani yangu wakati wa huu mnuso mkubwa.
SBP inawatakia Fadhili na Catherine maisha mema ya ndoa na heri na fanaka!

No comments: