Tafuta/Search This Blog

Monday, September 13, 2010

Pricilla wa Jojo na Matilda


Mrembo aliyezaliwa katika nyumba ya watumishi wa Mungu Mr&Mrs Mwakajila ndio huyu sasa, anaitwa Pricilla. Hapa akiwa ameshikwa na mama yake.

Baba mtoto.

Sisi tunawapongeza sana na tunawaombea mumlee katika njia ya Kristo!!


No comments: