Tafuta/Search This Blog

Monday, October 28, 2013

Hatimaye Papaa Samuel Sasali a.k.a the Blogger ameoa!

Jana, tarehe 26 Oktobe ilikuwa siku ya kihistoria sana katika ngome ya mabachela nchini Tanzania baada ya bachela Nguli kujiondoa rasmi kwenye hilo kundi na kujiunga kwenye klabu ya waliooa! Sisi SBP tunawapongeza sana Sam na Mirembe kwa hatua hii na tunawatakia maisha mema ya ndoa

Smiles all over! Samuel na mke wake Mirembe.
Mambo haya yasingekosekana asilani!!


Ukweliii1



Hii picha muhimu sana! Nahisi Papaa alikuwa anamkabidhi rafiki yake Prosper Kijiti na kuweka msisitizo!

Mr&Mrs Sasali wakisindikizwa na Mr&Mrs Mndeme.

Picha zote zimetolewa Facebook page ya MC LUVANDA

1 comment:

Anonymous said...

safi sana hongerni sana papaa na Mirembe