Tafuta/Search This Blog

Thursday, October 3, 2013

JOYCE KIRIA / WANAWAKE LIVE WAFICHUA NDOA YA WATOTO!!




Najua kila mtu mwenye ufahamu wa kawaida kabisa atakuwa ameshtushwa sana na tukio hili. Yaani ni kama tuko nyuma sana na ninahisi tatizo kubwa ni umasikini na njaa za wazazi!

Tunampongeza sana Joyce Kiria pamoja na kipindi cha Wanawake Live kwa kufanikisha kufichua tukio hili. Dada Joy, Keep it up na Mungu akulinde maana maeneo mengine unayoingia ni hatari kama hili. Endelea kufichua haya majanga kwenye jamii zetu.

Video ni mali ya Wanawake Live/Joyce Kiria.

-SBP

No comments: