Tafuta/Search This Blog

Thursday, October 10, 2013

Nichague ipi??






Kuna vingamuzi lukuki hapa Tanzania sasa baada ya kuamua kuingia kwenye mfumo wa dijitali tukiachana na ule wa analojia. Kampuni za kutoa huduma hii zimekuwa nyingi sana na wote wanasema wao ndio bora na wenye picha nzuri zaidi. Sasa  mimi nichukue ipi kati ya hizi au nisubirie AZAM TV maana nao nimesikia wako njiani wanakuja....Naombeni ushauri wenu wapendwa!

No comments: