Tafuta/Search This Blog

Monday, October 28, 2013

KONGAMANO KUBWA LA UAMSHO NA MAOMBEZI



Kanisa la T.A.G Kigogo Mburahati Limekuandalia Kongamano kubwa la UAMSHO NA MAOMBEZI.

Tarehe: 28 Oct. hadi 3 Nov 2013

Muda: Saa 10:00 – 12:00 Jioni

Wahudumu: Askofu Laurence Kameta, Mch. Sir Gilbert, Mwinjilisti Crispin Madembwe pamoja na
Mch. Sabinus Mbogo.

Kwaya zitakazo hudumu ni Kinondoni Revival, Peace Maker Ilala na Wenyeji T.A.G Kigogo kwaya waimbaji binafsi watakao hudumu ni Lyanga George na Sara Shira.

Wenye shida mbalimbali kama Matatizo ya ndoa, Magonjwa, waliofungwa na Mapepo na matatizo mengine yote YESU MTENDA MIUJIZA ATAYASHUGHULIKIA! NJOO UKUTANE NA MUNGU!

Kanisa liko karibu na Kituo cha Mburahati msikitini mita chache sana kuelekea barabara ya barafu.

Kwa mawasiliano 0754 995 590 au 0712 554 528

No comments: