Tafuta/Search This Blog

Saturday, October 12, 2013

Shindano la kimataifa la uchoraji picha kuhusu uokoaji sayari ya dunia.

Shindano hilo mahsusi kwa watoto wenye umri wa kati ya miaka 6 hadi 14, litafikia kilele mwakani ambapo ukomo wa kuwasilisha picha zilizochorwa ni tarehe 15 mwezi Machi mwaka 2014. 



Wadau tunaomba muwahamasishe watoto kushiriki shindano hili na mshindi atapata zawadi ya $2000!!


Kupata maelezo zaidi tembelea Radio.un.org/sw 





No comments: