Tafuta/Search This Blog

Tuesday, August 18, 2009

Ukimwona huyu ndani ya basi....

...akiwa amevaa kofia yake, na ukaona kondakta na dereva wamenunaa, Ujue mmekamatwa na basi litapitia kwenye kituo cha polisi kiduuuchu kwa ajili ya maelewano!!

No comments: